
Mahitaji
- Magimbi
- Nazi,tengeneza tui zito na jepesi
- Chumvi
1.Menya na osha vizuri
2. Chemsha na tui jepesi (Tui la pili),yakiiva kabla hayajalainika weka chumvi na tui la kwanza (tui zito).Chemsha adi tui liive na magimbi yawe laini sana.Tui lisikauke,acha liwe rojo jingi.Tayari kwa kula.
-ukipenda unaweza weka nyama au mboga mboga zozote.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni